Mshambuliaji wa DC United ya Marekani, Wayne Rooney akifurahi na mchezaji mwenzake wa zamani wa Everton, Ross Barkley katika mazoezi ya timu ya taifa ya England jana Uwanja wa St George's Park kujiandaa na mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya Marekani Alhamisi Uwanja wa Wembley. Rooney amekwishastaafu soka ya kimataifa, lakini ameitwa maalum tu kwa ajili ya mchezo huo, ambao utakuwa wa 120 kwake kuichezea Three Lions PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Biden drops lawsuit seeking to block release of recordings of his
interviews with a ghostwriter
-
WASHINGTON (AP) — Joe Biden on Friday dropped a lawsuit in which he sought
block the release of audio recordings and transcripts of his interviews
with a m...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment