Mkongwe Wayne Rooney akiwa na wanawe wanne, Cass, Klay, Kai na Kit Uwanja wa Wembley usiku wa jana baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Marekani ambao alirejeshwa kutoka kwenye kustaafu na kuichezea tena Three Lions kwa mara ya mwisho ikishinda 3-0, hiyo ikiwa mechi yake ya 120 kuichezea nchi yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Invincibles This Week: Two draws, but two to go...
-
Take a look at what was going on around the world and on the pitch 20 years
ago this week during our Invincibles campaign
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment