Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Neil 'Razor' Ruddock claims his penis has tripled in size after undergoing gastric surgery
-
The one-time England man has lost seven stone after 'life saving' gastric
surgery and a change in lifestyle. He gained weight after retiring from
football ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment