Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pierre-Emerick Aubameyang's heart-warming gesture which shows he STILL cares for Arsenal
-
Arsenal controversially let Pierre-Emerick Aubameyang, 32, leave the club
for free in January after the former captain had been frozen out by boss
Mikel Ar...
Dakika 37 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni