Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment