Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment