Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric akijaribu kuutelezea mpira kuurejesha uwanjani leo katika mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Eibar 3-0 Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Eibar imeshinda 3-0 mabao yake yakifungwa na Gonzalo Escalante dakika ya 16, Sergi Enrich dakika ya 52 na Kike dakika ya 57 huo mchezo wa kwanza timu hiyo inapoteza chini ya kocha mpya, Santiago Solari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Another sickening night of football violence: Patrick Vieira ATTACKS rival fan during pitch invasion
-
Football bosses have threatened clubs with sanctions in an effort to curb
the disturbing scenes which have plagued the game this week, including one
man wh...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni