Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric akijaribu kuutelezea mpira kuurejesha uwanjani leo katika mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Eibar 3-0 Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Eibar imeshinda 3-0 mabao yake yakifungwa na Gonzalo Escalante dakika ya 16, Sergi Enrich dakika ya 52 na Kike dakika ya 57 huo mchezo wa kwanza timu hiyo inapoteza chini ya kocha mpya, Santiago Solari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police boat crashes into bridge in central London, sending officers into
the Thames
-
A police boat crashed into Westminster Bridge in central London on Friday,
sending members of its marine unit into the River Thames and injuring five
offic...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment