Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric akijaribu kuutelezea mpira kuurejesha uwanjani leo katika mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Eibar 3-0 Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Eibar imeshinda 3-0 mabao yake yakifungwa na Gonzalo Escalante dakika ya 16, Sergi Enrich dakika ya 52 na Kike dakika ya 57 huo mchezo wa kwanza timu hiyo inapoteza chini ya kocha mpya, Santiago Solari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nasarawa North decides: over 300,000 voters set to choose Akwashiki’s
successor
-
Over 300,000 voters prepare for the June 20 NASARAWA NORTH BY-ELECTION as
PDP candidate David Ombugadu campaigns to succeed the late Senator
Akwashiki.
...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment