Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric akijaribu kuutelezea mpira kuurejesha uwanjani leo katika mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Eibar 3-0 Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Eibar imeshinda 3-0 mabao yake yakifungwa na Gonzalo Escalante dakika ya 16, Sergi Enrich dakika ya 52 na Kike dakika ya 57 huo mchezo wa kwanza timu hiyo inapoteza chini ya kocha mpya, Santiago Solari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment