Ousmane Dembele akishangilia na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kutokea benchi zikiwa zimesalia dakika 10 na kuifungia bao la kusawazisha timu hiyo dakika ya 90 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, kufuatia Diego Costa kuanza kufunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane 'is OPEN to signing a new Tottenham contract'
-
With Conte at the helm, Spurs were able to secure Champions League football
for next season and Kane is reportedly increasingly hopeful that he can
finally...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni