Ousmane Dembele akishangilia na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kutokea benchi zikiwa zimesalia dakika 10 na kuifungia bao la kusawazisha timu hiyo dakika ya 90 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, kufuatia Diego Costa kuanza kufunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment