Ousmane Dembele akishangilia na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kutokea benchi zikiwa zimesalia dakika 10 na kuifungia bao la kusawazisha timu hiyo dakika ya 90 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, kufuatia Diego Costa kuanza kufunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toddler critical after head gets stuck in kitchen play set
-
A 3-year-old is hospitalized in critical condition after their head became
stuck in a kitchen play set, according to Boynton Beach police.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment