Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment