Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron, onsemi, Seagate, Western Digital, and Vishay Intertechnology Shares
Are Falling, What You Need To Know
-
A number of stocks fell in the morning session after the U.S. government
announced new tariffs of 10% to 12.5% on 60 trading partners over concerns
related...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment