Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan could be forced to sell his West Ham stake in wake of new
Independent Football Regulator rules - amid claims against co-owner, 77, of
abusing and preying on teenage girls for sex in BBC Panorama documentary
-
MIKE KEEGAN: David Sullivan could be forced to sell his stake in West Ham
United after he was accused of preying on women for sex.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment