Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy reveals why wife Erica missed his BBC SPOTY triumph - after
YEARS of coming close to the prize
-
The Northern Irishman finally got his hands on the prize after a stunning
year which saw him win The Masters, thereby completing golf's Grand Slam,
as well...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment