Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paige Spiranac reveals professional golf 'beat me up emotionally' as she
opens up on bid to return to playing competitively again
-
Spiranac, 31, had a short-lived professional career as a player from
2016-17 before embarking on her social media journey, where she's amassed
four million...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment