Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uolanzi bao la pili kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Feyernoord mjini Rotterdam katika mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa Ulaya. Bao la kwanza la Uholanzi lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 44 na kwa matokeo hayo, Ujerumani inashushwa daraja katika kundi hilo, huku kikosi cha Ronald Koeman kikitofautiana kwa pointi moja tu sasa na vinara, Ufaransa huku ikiwa imebakiza mechi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment