Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uolanzi bao la pili kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Feyernoord mjini Rotterdam katika mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa Ulaya. Bao la kwanza la Uholanzi lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 44 na kwa matokeo hayo, Ujerumani inashushwa daraja katika kundi hilo, huku kikosi cha Ronald Koeman kikitofautiana kwa pointi moja tu sasa na vinara, Ufaransa huku ikiwa imebakiza mechi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment