Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uolanzi bao la pili kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Feyernoord mjini Rotterdam katika mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa Ulaya. Bao la kwanza la Uholanzi lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 44 na kwa matokeo hayo, Ujerumani inashushwa daraja katika kundi hilo, huku kikosi cha Ronald Koeman kikitofautiana kwa pointi moja tu sasa na vinara, Ufaransa huku ikiwa imebakiza mechi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment