Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika ya 23 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Lika usiku wa jana Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 83 na Dani Ceballos dakika ya 90 na ushei, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Hugo Mallo dakika ya 61 na Brais Mendez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment