Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika ya 23 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Lika usiku wa jana Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 83 na Dani Ceballos dakika ya 90 na ushei, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Hugo Mallo dakika ya 61 na Brais Mendez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan could be forced to sell his West Ham stake in wake of new
Independent Football Regulator rules - amid claims against co-owner, 77, of
abusing and preying on teenage girls for sex in BBC Panorama documentary
-
MIKE KEEGAN: David Sullivan could be forced to sell his stake in West Ham
United after he was accused of preying on women for sex.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment