• HABARI MPYA

    Monday, November 12, 2018

    BENZEMA AFUNGA MAWILI REAL MADRID YAICHAPA CELTA VIGO 4-2 LA LIGA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika ya 23 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Lika usiku wa jana Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 83 na Dani Ceballos dakika ya 90 na ushei, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Hugo Mallo dakika ya 61 na Brais Mendez dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA AFUNGA MAWILI REAL MADRID YAICHAPA CELTA VIGO 4-2 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top