Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag admits he cannot wait to work with Cristiano Ronaldo at Manchester United
-
Ten Hag will get to work after the current season ends following United's
final game against Crystal Palace, with the Dutchman facing a huge summer
head of...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni