Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment