Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Biden drops lawsuit seeking to block release of recordings of his
interviews with a ghostwriter
-
WASHINGTON (AP) — Joe Biden on Friday dropped a lawsuit in which he sought
block the release of audio recordings and transcripts of his interviews
with a m...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment