Beki wa Juventus, Leonardo Bonucci (katikati) akiruka na mguu juu kuwania mpira dhidi ya wachezaji wa Marekani katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk. Italia ilishinda 1-0 bao pekee la Matteo Politano dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Ahead of our latest clash with Sheffield United, test your knowledge of our
previous encounters with the South Yorkshire outfit.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment