Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Biden drops lawsuit seeking to block release of recordings of his
interviews with a ghostwriter
-
WASHINGTON (AP) — Joe Biden on Friday dropped a lawsuit in which he sought
block the release of audio recordings and transcripts of his interviews
with a m...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment