Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Trade Rumors: Luis Castillo, Tyler Mahle Interest Giants; Mets Linked to Mahle
-
"I'm hearing that the Giants are looking at the Reds starters, Castillo and
Mahle. I do think there is a possibility there. The Mets have scouted at
least ...
Dakika 27 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni