Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Policy discusses long-term adjustments Packers could make to stay
financially competitive
-
Green Bay Packers president/CEO Ed Policy says adjustments may be necessary
as the NFL’s only publicly owned franchise attempts to remain financially
compe...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment