Mshambuliaji wa Benfica, Haris Seferovic akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Uswisi hat-trick katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Ubelgiji jana Uwanja wa Swissporarena mjini Luzern kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya. Seferovic alifunga dakika za 31, 44 na 84, wakati mabao mengine ya Uswisi yamefungwa na Ricardo Rodriguez kwa penalti dakika ya 26 na Nico Elvedi dakika ya 62, wakati mabao ya Ubelgiji yamefungwa na Thorgan Hazard yote dakika za pili na 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment