Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kufunga bao la pili dakika ya 81 Juventus ikiilaza 2-0 AC Milan Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan usiku wa jana katika mchezo wa Serie A, bao la kwanza likifungwa na Mario Mandzukic dakika ya nane katika mchezo ambao mshambuliaji wa AC Milan, Gonzalo Higuain alikosa penalti dakika ya 41 kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 83 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sol Campbell claims Arsenal's Invincibles triumph 'would have been
recognised more' if Liverpool or Man United had done it - and blasts
'embarrassing' Premier League chiefs
-
Arsenal legend Sol Campbell wants the Premier League to officially
recognise and honour Gunners players who lifted the title during the club's
Invincibles ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment