Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kufunga bao la pili dakika ya 81 Juventus ikiilaza 2-0 AC Milan Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan usiku wa jana katika mchezo wa Serie A, bao la kwanza likifungwa na Mario Mandzukic dakika ya nane katika mchezo ambao mshambuliaji wa AC Milan, Gonzalo Higuain alikosa penalti dakika ya 41 kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 83 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment