Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric wa Croatia (kushoto) akizuiwa asiende kugombana na wachezaji wa Hispania katika mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya jana Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb. Croatia ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Andrej Kramaric dakika ya 54 na Tin Jedvaj mawili dakika za 69 na 90 na ushei, wakati ya Hispani yalifungwa na Dani Ceballos dakika ya 56 na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC addresses reasons behind WASSCE exam delays
-
WAEC has clarified that a fatal auto accident and regional security
challenges caused recent WASSCE exam delays, assuring hitch-free future
conduct.
The...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment