Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric wa Croatia (kushoto) akizuiwa asiende kugombana na wachezaji wa Hispania katika mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya jana Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb. Croatia ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Andrej Kramaric dakika ya 54 na Tin Jedvaj mawili dakika za 69 na 90 na ushei, wakati ya Hispani yalifungwa na Dani Ceballos dakika ya 56 na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League survival is Spurs' priority and Atletico tie can help - Tudor
-
Tottenham Hotspur will prioritise earning Premier League survival over
Champions League progress, says interim manager Igor Tudor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment