Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defending tennis champion snubbed by Queen's hits out at lack of 'respect'
after tournament failed to grant her a wildcard one year on from
mum-of-two's heartwarming victory
-
TAMARA PRENN AT QUEEN'S CLUB: The 38-year-old was crowned the Queen of
Queen's last year with her underdog victory in the final against Amanda
Anisimova.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment