Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment