Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Policy discusses long-term adjustments Packers could make to stay
financially competitive
-
Green Bay Packers president/CEO Ed Policy says adjustments may be necessary
as the NFL’s only publicly owned franchise attempts to remain financially
compe...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment