Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Honduras usiku wa jana Uwanja wa Manispaaa ya Bicentenario German Becker mjini Temuco. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Arturo Vidal dakika ya nane na 35 kwa penalti na Nicolas Castillo kwa penalti pia dakika ya 84, wakati la Honduras lilifungwa na Alexander Lopez dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Louis Rees-Zammit is set to sign for Super Bowl champions Kansas City
Chiefs on a £700,000 training deal - with ex-Wales wing looking to be a
permanent team-mate of Patrick Mahomes and Travis Kelce
-
Louis Rees-Zammit is set for a stunning move to Super Bowl champions Kansas
City Chiefs as the former Wales star inches closer to his NFL dream.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment