Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Honduras usiku wa jana Uwanja wa Manispaaa ya Bicentenario German Becker mjini Temuco. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Arturo Vidal dakika ya nane na 35 kwa penalti na Nicolas Castillo kwa penalti pia dakika ya 84, wakati la Honduras lilifungwa na Alexander Lopez dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron, onsemi, Seagate, Western Digital, and Vishay Intertechnology Shares
Are Falling, What You Need To Know
-
A number of stocks fell in the morning session after the U.S. government
announced new tariffs of 10% to 12.5% on 60 trading partners over concerns
related...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment