Wachezaji wa Paris Saint-Germain wakishangilia na Kombe lao la Ligi Ufaransa baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Monaco usiku wa jana Uwanja wa, mabao ya Edinson Cavani mawili, dakika ya nane kwa penalti baada ya Kylian Mbappe kuchezewa rafu na dakika ya 85 na Angel di Maria dakika ya 21 wakati Nahodha, Radamel Falcao pia alifunga, lakini bao likakataliwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mystic Dan! Fans ask Sturridge for lottery numbers after former Premier
League star makes incredibly accurate prediction ahead of Bayern Munich vs
Real Madrid
-
Daniel Sturridge may have earned himself a reputation as a mystic with a
strikingly accurate prediction of how the clash between Bayern Munich and
Real Mad...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment