Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 77 na 90 na ushei katika mechi yake kwanza kuichezea klabu yake mpya, LA Galaxy ikishinda 4-3 dhidi ya Los Angeles FC usiku wa kuamkia leo kwenye Ligi ya Marekani (MLS) Uwanja wa Stubhub Center, Carson, California PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment