Juan Cuadrado akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Paulo Dybala dakika ya nane na Sami Khedira dakika ya 87 wakati la Milan limefungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 28 katika mchezo wa Serie A, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Alcaraz OUT of the French Open: World No 2 pulls out of Roland
Garros with wrist injury - handing arch rival Jannik Sinner major boost as
he chases maiden victory
-
The World No 2, who triumphed at the Australian Open at the start of the
year, said on Instagram that he was taking the 'prudent' measure following
tests.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment