Juan Cuadrado akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Paulo Dybala dakika ya nane na Sami Khedira dakika ya 87 wakati la Milan limefungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 28 katika mchezo wa Serie A, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United fans posing as disabled supporters to get into matches are
slammed by a leading charity... as club tightens rules to prevent repeat of
'damaging' scam
-
EXCLUSIVE: Mail Sport reported on Tuesday that United had received
'multiple' allegations, including of non-disabled fans turning up in a
wheelchair to mat...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment