Mohamed Salah akiteleza chini kwa furaha kushangilia na wachezaji wenzake, Roberto Firmino aliyempa pasi na Andy Robertson baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 20 pasi ya James Milner na Sadio Mane dakika ya 31 pasi ya Salah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This Poppy & Peonies tote bag is 'deceivingly spacious and holds all the
things' — and it's on sale for under $100
-
If you find yourself heading out the door with multiple bags (or cramming
everything into an overflowing, unorganized backpack), consider this your
sign to...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment