Mohamed Salah akiteleza chini kwa furaha kushangilia na wachezaji wenzake, Roberto Firmino aliyempa pasi na Andy Robertson baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 20 pasi ya James Milner na Sadio Mane dakika ya 31 pasi ya Salah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcel Sabitzer über Vorfreude, Respekt und den Plan gegen Paris
-
BVB-Mittelfeldspieler Marcel Sabitzer hat vor dem
Champions-League-Halbfinale (Mittwoch, 21 Uhr) über die Chancen der
Dortmunder gegen den französischen Me...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment