Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 23 kwa penalti na 35 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Aaron Ramsey (kulia) dakika ya tisa na 28, wakati la CSKA Moscow limefungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micky van de Ven partners Dutch team-mate Virgil van Dijk at the back while
Mohamed Salah joins Son Heung-min in attack - but can you guess the ONE
other Tottenham star in our Liverpool vs Spurs COMBINED XI?
-
A Premier League clash between Liverpool and Spurs has provided fans with
some memorable moments over the years - with this season's VAR-filled
offering on...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment