Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 62 na 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs likifungwa na Christian Eriksen dakika ya 45 na ushei wakati la Chelsea lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GARY KEOWN: Rangers fans are tired of big talk and very few trophies. The
likes of Dessers and Diomande need to shut up and focus on winning
-
OVER recent times, those inside Celtic have made a habit of turning the
words of their rivals at Rangers against them.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment