Andre Gray akimchambua kipa Vito Mannone kuifungia bao la pili Burnley dakika ya 83 baada ya Sam Vokes kutangulia kufunga dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor mjini Burnley. Sasa Burnley itamenyana na wababe wa Daraja la Kwanza, Bristol City katika Raundi ya Nne Januari 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria’s economy contracted in April, fell to 49.4 –CBN
-
• FG’s reforms only good on paper, says Methodist Church By Uche Usim
Nigeria’s economy slowed down in April 2026 after more than a year of
steady growth...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment