Andre Gray akimchambua kipa Vito Mannone kuifungia bao la pili Burnley dakika ya 83 baada ya Sam Vokes kutangulia kufunga dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor mjini Burnley. Sasa Burnley itamenyana na wababe wa Daraja la Kwanza, Bristol City katika Raundi ya Nne Januari 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Execs Expect 'Active' Summer on Trade Market Due to New CBA
Restrictions
-
The upcoming NBA offseason is reportedly expected to be a busy one for
teams hoping to avoid penalties imposed on high-spending franchises by the
new…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment