Lionel Messi (kushoto), Denis Suarez (katikati) na Luis Suarez wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Real Sociedad kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Mabao ya Barca yalifungwa na Denis Saurez dakika za 17 na 82, Lionel Messi dakika ya 55, Luis Suarez dakika ya 65 na Arda Turan dakika ya 80, wakati ya Real yalifungwa na Juanmi dakika ya 62 na Willian Jose dakika ya 73 na Barca inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya awali kushinda 1-0 ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment