Lionel Messi (kushoto), Denis Suarez (katikati) na Luis Suarez wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Real Sociedad kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Mabao ya Barca yalifungwa na Denis Saurez dakika za 17 na 82, Lionel Messi dakika ya 55, Luis Suarez dakika ya 65 na Arda Turan dakika ya 80, wakati ya Real yalifungwa na Juanmi dakika ya 62 na Willian Jose dakika ya 73 na Barca inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya awali kushinda 1-0 ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment