Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akipiga krosi mbele ya beki wa Ashanti United, Peter Mutambuzi katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 4-1
Mshambuloiaji wa Ynga, Amissi Tambwe akiuvutia kasi mpira mbele ya beki wa Ashanti, Patrick James
Beki wa Yanga, Oscar Joshua (kushoto) akiondosha mpira kwenye hatari
Kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akimtoka kiungo wa Ashanti, Rajab Mohammed
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Ashanti
Beki wa Yanga, Mwinyi Mngwali (kulia) akipiga kichwa dhidi ya beki wa Ashanti, Patrick Jams
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi anayetumika kama mshambuliaji kwa sasa, akiuwahi mpira huku beki wa Ashanti, Patrick James akiwa chini
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akimtoka mshambuliaji wa Ashanti, Abeid Kisiga
Kikosi cha Ashanti jana
Kikosi cha Yanga jana
Watch the moment Bruce Buffer declares WRONG winner of fight at UFC 301,
with veteran announcer making rare embarrassing mistake
-
Bruce Buffer's mistakes can be counted on one hand but he made a shocking
blunder at UFC 301. The veteran octagon announcer, who almost never misses
an eve...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment