Mshambuliaji Christian Benteke (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Crystal Palace mabao mawili dakika za 68 na 77 baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Loic Remy dakika ya 62 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bolton Wanderers usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park, London. Bolton walitangulia kwa bao la James Henry dakika ya 48. Crystal Palace sasa itamenyana na Manchester City katika Raundi ya Nne ya FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal legend Jens Lehmann could launch Invincibles cryptocurrency or NFTs
after securing the the trademark to their greatest-ever season
-
Mail Sport revealed on Thursday that Lehmann, an ever-present in the
Invincibles side of 2003-04, secured the branding rights in 2022 after
filing an appli...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment