Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Azam FC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0
Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate akipasua katikati ya
Mshambuliaji wa Azam, John Bocco (kulia) akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Simba, Method Mwanjali
John Bocco akifumua shuti mbele ya beki wa Simba, Method Mwanjali
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Azam, Erasto Nyoni
Viungo Jonas Mkude wa Simba (kushoto) na Frank Domayo wa Azam (kulia) wakigombea mpira
Beki wa Azam, Yakubu Mohammed akiutelezea mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio
Beki wa Simba, Janvier Bokungu aakipiga kichwa mbele ya kiungo wa Azam, Joseph Mahundi
Simba book final spot in CAF Confederation cup
-
Simba booked their spot in the final of the CAF Confederation Cup following
a goalless draw against Stellenbosch on Sunday afternoon. The host
continued ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment