Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akienda chini baada ya kukwatuliwa na kipa wa Celta Vigo, Sergio Alvarez na beki Muargentina, Facundo Roncaglia katika mchezo wa Robo Faainali ya Kombe la Mfalme usiku wa Jumatano Uwanja wa Balaidos timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real yalifungwa na Ronaldo dakika ya 62 na Lucas Vazquez Iglesias dakika ya 90, wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Danilo Luiz da Silva aliyejifunga dakika ya 44 na Daniel Wass (85). Real inatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI NGONGA HAPA
Xavier Worthy NFL Draft 2024: Scouting Report for Kansas City Chiefs WR
-
HEIGHT: 5'11" WEIGHT: 165 HAND: 8¾" ARM: 31⅛" WINGSPAN: 74¼" 40-YARD DASH:
4.21 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: 41" BROAD: 10'11" POSITIVES — Great
speed.…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment