• HABARI MPYA

    Monday, January 23, 2017

    ULIMWENGU AWASILI SWEDEN KUSAINI MKATABA

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akiwa kwenye gari baada ya kupokewa Uwanja wa Ndege wa Stockholm, Sweden leo kupelekwa mjini Eskilstuna kwa ajili ya kusaini Mkataba wa kujiunga na klabu ya AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu nchini humo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ULIMWENGU AWASILI SWEDEN KUSAINI MKATABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top