Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Bayern Munich dakika za 35 na 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji, Freiburg kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Schwarzwald mjini Freiburg. Bao la wenyeji lilifungwa na Janik Haberer dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian leaders in the Lebanese city of Tyre urge for action after
Israel's evacuation warning
-
SIDON, Lebanon (AP) — Christian religious leaders from Lebanon’s southern
port city of Tyre called on the international community and Lebanese
officials on...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment