Jose Mourinho akifurahia sherehe yake ya kuzaliwa jana akifikisha miaka 54 kwenye basi la timu hiyo baada ya mchezo wa Kombe la Ligi England wakifungwa 2-1 na wenyeji Hull City. Lakini Man United wamesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
13 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment