Jose Mourinho akifurahia sherehe yake ya kuzaliwa jana akifikisha miaka 54 kwenye basi la timu hiyo baada ya mchezo wa Kombe la Ligi England wakifungwa 2-1 na wenyeji Hull City. Lakini Man United wamesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Golfer throws tantrum for the ages - as rumours swirl he will join Greg Norman's rebel LIV tour
-
US golfer Jason Kokrak has gone viral online following a meltdown for the
ages, sparking rumours he is about to be the latest PGA player to defect to
Greg ...
Dakika 50 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni