Jose Mourinho akifurahia sherehe yake ya kuzaliwa jana akifikisha miaka 54 kwenye basi la timu hiyo baada ya mchezo wa Kombe la Ligi England wakifungwa 2-1 na wenyeji Hull City. Lakini Man United wamesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Essendon vs Collingwood LIVE: All the latest updates from the AFL's Anzac
Day match
-
Daily Mail Australia live blog: Get all the latest scores and updates as
the Bombers take on the Magpies in one of the season's most anticipated
matches.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment