Cristiano Ronaldo akishangiliaa baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa Mateo Kovacic dakika ya 38 na Alvaro Morata dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment