Cristiano Ronaldo akishangiliaa baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa Mateo Kovacic dakika ya 38 na Alvaro Morata dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment