Lionel Messi akimchambua kipa wa Eibar kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 50 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Ipura. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Denis Suarez dakika ya 31, Luis Suarez dakika ya 68 na Neymar Junior dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment