Nyota wa zamani wa Manchester United, Angel Di Maria akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili PSG dakika za 18 na 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux na kutinga fainali ya Kombe la Ufaransa usiku wa jana. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Edinson Cavani dakika za 60 na 74 wakati la Bordeaux lilifungwa na Diego Rolan dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Irish pub turns their flags upside down to become the UK's first IVORY
COAST boozer for the World Cup - stocking African Guinness and Ivorian food
after 'a joke went too far'
-
The Republic of Ireland failed to qualify for this summer's showpiece in
the USA, Canada, and Mexico after losing to the Czech Republic in the
play-offs on...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment