Beki Sergio Ramos (kushoto) akicheza kwa furaha na mchezaji mwenzake, Lucas Vazquez baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 35 na 43 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Malaga ambao bao lao lilifungwa na Juan Pablo Anor Acosta 'Juanpi' dakika ya 63 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham advancing in move for £60m-rated Man City winger Savinho - who
has wanted to join them for a YEAR
-
Daily Mail Sport exclusively revealed last month that Spurs had resurrected
their interest in the Brazilian winger.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment