Diego Costa akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hull City usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Gary Cahill dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robert Lewandowski names Real Madrid star as one of the two best players in
the world... as the Barcelona forward addresses Ballon d'Or rumours
-
Lewandowski was viewed as the clear favourite in 2020 after a stunning
goalscoring season for Bayern Munich, only for organisers to cancel the
award due to...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment