Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akiinua mpira kiufundi kuwatoka wachezaji wa Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0
Kiungo wa Yanga, Justin Zulu (kushoto) akipiga kichwa mbele ya wachezaji wa Mwadui
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Mwadui, Iddi Mobby
Beki wa Yanga, Mwinyi Mngwali (kulia) akimtoka mshambuliaji wa Mwadui, Paul Nonga
Winga wa Yanga, Simon Msuva akiwania mpira dhidi ya beki wa Mwadui, Iddi Mobby
Refa wa mchezo huo, Jonesiya Rukyaa akimuonya kiungo wa Mwadui, Razack Khalfan baada ya kuzidisha rafu dhidi ya Haruna Niyonzima
Thabani Kamusoko wa Yanga akimtoka Razack Khalfan wa Mwadui
Deus Kaseke wa Yanga akimiliki mpira mbele ya Yassin Mustafa wa Mwadui
Kikosi cha Yanga jana
Kikosi cha Mwadui jana
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment