Dele Alli akijipinda kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Manchester City leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs limefungwa na Heung-Min Son dakika ya 77, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 49 na Kevin De Bruyne dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chad Reuter 2024 NFL Draft Grades: Chiefs, Steelers, Seahawks Top Expert's
Rankings
-
The NFL draft is complete and with its conclusion, industry experts have
given their grades and analysis of how teams fared with their picks. After
the draft…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment