Andreas Weimann akimzunguka kipa Loris Karius kuifungia bao la pili Wolves dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Anfield. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Richard Stearman dakika ya kwanza, wakati la Liverpool lilifungwa na Divock Origi dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment