Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezungukwa na wachezaji wa Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Timu hizo zimetoka 1-1, Betis wakitangulia kwa bao la Alex Alegria dakika ya 75, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Canada, UAE conclude free trade negotiations
-
The governments of Canada and the United Arab Emirates have concluded
negotiations on a free trade agreement. Thani al-Zeyoudi, the UAE's
minister of forei...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment