Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezungukwa na wachezaji wa Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Timu hizo zimetoka 1-1, Betis wakitangulia kwa bao la Alex Alegria dakika ya 75, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raducanu withdraws from Miami Open
-
Britain's Emma Raducanu withdraws from this week's Miami Open tournament
with a reported lower back injury.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment