Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezungukwa na wachezaji wa Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Timu hizo zimetoka 1-1, Betis wakitangulia kwa bao la Alex Alegria dakika ya 75, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment