Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu (kushoto) akipambana na beki wa Polisi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) Raundi ya Tano jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
Mshambuliaji Ibrahim Hajib wa Simba (kushoto) akiwania mpira dhidi ya Abbas Kapombe wa Polisi Dar
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka winga wa Polisi
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akiwatoka viungo wa Polisi Dar
Kipa wa Polisi, Kondo Salum akienda juu kudaka katika mchezo wa jana
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kulia) akitafuta maarifa ya kuwatoka wachezaji wa Polisi
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe (kushoto) akijadiliana na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Ally Suru
Mwanachama maarufu wa Simba, Alhaj Juma Kapuya (kushoto) akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu, Said Tuliy jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
Kikosi cha Polisi Dar jana
Mark Allen believes he's found the balance to keep on partying but stay
focused on his game as he looks to land his first-ever Snooker world title
-
Mark Allen believes he has found the right balance and there is still time
to party as he bids to win his first Snooker world title.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment