• HABARI MPYA

    Monday, January 23, 2017

    SIMBA NA POLISI DAR KATIKA PICHA JANA 'SHAMBA LA BIBI'

    Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu (kushoto) akipambana na beki wa Polisi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) Raundi ya Tano jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
    Mshambuliaji Ibrahim Hajib wa Simba (kushoto) akiwania mpira dhidi ya Abbas Kapombe wa Polisi Dar
     Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka  winga wa Polisi
    Kiungo wa Simba, Said Ndemla akiwatoka viungo wa Polisi Dar
    Kipa wa Polisi, Kondo Salum akienda juu kudaka katika mchezo wa jana
    Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kulia) akitafuta maarifa ya kuwatoka wachezaji wa Polisi
    Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe (kushoto) akijadiliana na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Ally Suru 
    Mwanachama maarufu wa Simba, Alhaj Juma Kapuya (kushoto) akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu, Said Tuliy jana
    Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
    Kikosi cha Polisi Dar jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA POLISI DAR KATIKA PICHA JANA 'SHAMBA LA BIBI' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top