Pedro akijiachia juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brentford Blues katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 14, Branislav Ivanovic dakika ya 69 na Michy Batshuayi kwa penalti dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment