Pedro akijiachia juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brentford Blues katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 14, Branislav Ivanovic dakika ya 69 na Michy Batshuayi kwa penalti dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Golfer throws tantrum for the ages - as rumours swirl he will join Greg Norman's rebel LIV tour
-
US golfer Jason Kokrak has gone viral online following a meltdown for the
ages, sparking rumours he is about to be the latest PGA player to defect to
Greg ...
Dakika 46 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni