Pedro akijiachia juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brentford Blues katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 14, Branislav Ivanovic dakika ya 69 na Michy Batshuayi kwa penalti dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jayson Tatum, Celtics Ridiculed By NBA Fans for Game 2 Loss to Heat With
Butler Out
-
Shooting the lights out is a pretty good strategy to adopt when you're
missing your best player. The Miami Heat evened up their first-round NBA
playoff ser...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment