Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Southampton, Ryan Bertrand katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfileld. Southampton ilishinda 1-0, bao pekee la Shane Long na kuingia fainali ya kwanza ya Kombe tangu mwaka 2003. Southampton waliingia kwenye mchezo wa leo wakiwa wanangoza bao 1-0 baada ya ushindi wa nyumbani Uwanja wa St Mary's, bao pekee la Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment