Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Southampton, Ryan Bertrand katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfileld. Southampton ilishinda 1-0, bao pekee la Shane Long na kuingia fainali ya kwanza ya Kombe tangu mwaka 2003. Southampton waliingia kwenye mchezo wa leo wakiwa wanangoza bao 1-0 baada ya ushindi wa nyumbani Uwanja wa St Mary's, bao pekee la Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment