Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Southampton, Ryan Bertrand katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfileld. Southampton ilishinda 1-0, bao pekee la Shane Long na kuingia fainali ya kwanza ya Kombe tangu mwaka 2003. Southampton waliingia kwenye mchezo wa leo wakiwa wanangoza bao 1-0 baada ya ushindi wa nyumbani Uwanja wa St Mary's, bao pekee la Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Evacuation alert lifted for Fort Simpson, residents reflect on experiences
-
After being evacuated on June 28, residents are balancing emotions as they
return to daily routines and prioritizing community well-being. CBC's
Jocelyn Sh...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment