Beki wa kushoto wa Liverpool, James Milner (kushoto) akimuangusha kiungo wa Swansea City, Mholanzi, Leroy Fer katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Swansea wameshinda 3-2. Mabao ya Swansea yamefungwa na Fernando Llorente dakika ya 48 na 52 na Gylfi Sigurdsson dakika ya 74, wakati ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya 55 na 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment