Beki wa kushoto wa Liverpool, James Milner (kushoto) akimuangusha kiungo wa Swansea City, Mholanzi, Leroy Fer katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Swansea wameshinda 3-2. Mabao ya Swansea yamefungwa na Fernando Llorente dakika ya 48 na 52 na Gylfi Sigurdsson dakika ya 74, wakati ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya 55 na 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment