• HABARI MPYA

    Saturday, January 28, 2017

    MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA

    Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya  Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top