Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Irish pub turns their flags upside down to become the UK's first IVORY
COAST boozer for the World Cup - stocking African Guinness and Ivorian food
after 'a joke went too far'
-
The Republic of Ireland failed to qualify for this summer's showpiece in
the USA, Canada, and Mexico after losing to the Czech Republic in the
play-offs on...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment