Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barcelona running out of time to persuade Ousmane Dembele to stay with winger's deal set to expire
-
Dembele's agent Moussa Sissoko travelled to Barcelona on Monday morning for
another meeting to discuss a potential contract extension.
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni