• HABARI MPYA

    Friday, January 27, 2017

    ULIMWENGU ALIVYOISHUHUDIA BARCA IKIUA 5-2 JANA CAMP NOU

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana na mchezaji wa klbu yake mpya, AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu ya Sweden kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad. Barca ilishinda 5-2  
    Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad 
    Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad 
    Ulimwengu (kushoto) akiwa na rafiki wakipata chakula mjini Barcelona, ambako AFC Eskilstuna imekwenda kuweka kambi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ULIMWENGU ALIVYOISHUHUDIA BARCA IKIUA 5-2 JANA CAMP NOU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top