Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana na mchezaji wa klbu yake mpya, AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu ya Sweden kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad. Barca ilishinda 5-2
Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad
Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad
Ulimwengu (kushoto) akiwa na rafiki wakipata chakula mjini Barcelona, ambako AFC Eskilstuna imekwenda kuweka kambi
The night Nottingham Forest were REALLY robbed by a dodgy ref! 40 years on,
the incredible tale of the official who took a bribe
-
MATT BARLOW: Perhaps someone at Nottingham Forest had this looming
anniversary in mind when the Midlands club started peddling conspiracy
theories like Don...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment