Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana na mchezaji wa klbu yake mpya, AFC Eskilstuna ya Ligi Kuu ya Sweden kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad. Barca ilishinda 5-2
Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad
Ulimwengu (kushoto) akiwa Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana kushuhudia mchezo wa Kombe la Mfalme kati ya wenyeji, Barcelona na Real Sociedad
Ulimwengu (kushoto) akiwa na rafiki wakipata chakula mjini Barcelona, ambako AFC Eskilstuna imekwenda kuweka kambi
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
1 minute ago
0 comments:
Post a Comment