Mshambuliaji wa Paris Saint Germain, Zlatan Ibrahimovic (katikati) akiondoka kibabe baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice katika Ligue 1 ya Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes. Bao lingine la PSG limefungwa na David Luiz made wakati la Nice limefungwa na Hatem Ben Arfa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thune says Senate to consider voting bill but pushes back on demands for
'talking filibuster'
-
WASHINGTON (AP) — Majority Leader John Thune said Tuesday that the Senate
will consider a bill to impose strict new proof-of-citizenship requirements
in el...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment