Mshambuliaji wa Paris Saint Germain, Zlatan Ibrahimovic (katikati) akiondoka kibabe baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice katika Ligue 1 ya Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes. Bao lingine la PSG limefungwa na David Luiz made wakati la Nice limefungwa na Hatem Ben Arfa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool expect Salah return before end of season
-
Liverpool expect Mohamed Salah to return from injury before the end of the
season after he was forced off against Crystal Palace on Saturday.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment