Kipa wa Lyon, Anthony Lopes (katikati) akiwasaidia walinzi kuondoa karayasi kwenye Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais usiku wa Ijumaa wakati wa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Nice. Mchezo huo ulisimama dakika ya 70 baada ya mashabiki kutupia karatasi nyingi uwanjani hadi zilipoondolewa ukaendelea na kumalizika kwa sare ya 1-1. Valere Germain alianza kuifungia NIce kabla ya Alexandre Lacazette kuwasawazishia Lyon, ambao dakika ya 25 walimpoteza mshambuliaji wao, Maxwel Cornet aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark Hyped as 'Real Deal' By WNBA Fans Despite Fever Preseason
Loss to Wings
-
Caitlin Clark made a strong first impression in her WNBA preseason debut on
Friday night. Although the Indiana Fever fell to the Dallas Wings by the
final…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment