Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment