Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US, Iranian negotiators enter 2nd day of talks after rough start
-
Negotiators from the U.S. and Iran were set to engage in a second day of
talks Monday to solidify a permanent end to the war between the countries,
after a...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment