Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suns' Frank Vogel 'Very' Confident He'll Remain HC Amid Rumors About Future
-
The Phoenix Suns season is currently on life support, but head coach Frank
Vogel is not worried about his job security. Prior to the Suns' Game 4
matchup…
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment