Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kukamilisha hat-trick yake dakika ya 80 kwa mkwaju wa penalti baada ya kipa wa Chelsea Thibaut Courtois kutolewa kwa kaid nyekundu kwa kumuangusha Fernandinho. Mabao mengine Aguero alifunga dakika za 33 na 54, Chelsea pungufu ikilala 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal star Aaron Ramsey lined up for his first job as a full-time
manager in League One
-
Aaron Ramsey did have a spell in charge as caretaker of Cardiff in 2025
after head coach Omer Riza was relieved of his duties. Ramsey drew two and
lost one...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment