Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kukamilisha hat-trick yake dakika ya 80 kwa mkwaju wa penalti baada ya kipa wa Chelsea Thibaut Courtois kutolewa kwa kaid nyekundu kwa kumuangusha Fernandinho. Mabao mengine Aguero alifunga dakika za 33 na 54, Chelsea pungufu ikilala 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment